Mtizamo Wa Kijamii Na Kinafsi Katika Wimbo Wa Nitarejea Wa Nasib Abdul

Authors

  • Abdulfattah Faraj Omar PhD student, Open University, Dar es Salaam, Tanzania Author
    • Mohamed Omary Maguo PhD student, Open University, Dar es Salaam, Tanzania Author

      DOI:

      https://doi.org/10.64943/ajhas.2026.020176

      Keywords:

      Wimbo wa Nitarejea, Masuala ya Kijamii, Mtazamo wa Kinafsi, Bongo Fleva

      Abstract

      Mada ya makala haya ni kuchunguza masuala ya kijamii na kinafsi katika nyimbo za Bongo Fleva kwa kutumia data kutoka katika wimbo wa (Nitarejea) wa msanii maarufu Nasib Abdul (Diamond Platnumz). wametumia mbinu ya usomaji makini katika kukusanya data, na kuzichambua kwa kutumia mbinu ya kimaelezo na Nadharia ya Saikolojia Changanuzi inayofungamanishwa na mazingira ya kijamii, kiuchumi, na kihistoria-nafsi, Makala yamebaini kwamba wimbo huu unajumuisha misingi muhimu ya kijamii inayofungamana na uwajibikaji katika kazi, masuala ya kifamilia na uzazi, kukabiliana na ugonjwa na kifo, pamoja na msukumo wa kiimani chini ya shinikizo la hali ngumu ya maisha.

      Downloads

      Published

      2026-06-10

      Issue

      Section

      Articles

      How to Cite

      Abdulfattah Faraj Omar, & Mohamed Omary Maguo. (2026). Mtizamo Wa Kijamii Na Kinafsi Katika Wimbo Wa Nitarejea Wa Nasib Abdul. Al-Imad Journal of Humanities and Applied Sciences (AJHAS), 2(1), 1083-1087. https://doi.org/10.64943/ajhas.2026.020176

      Most read articles by the same author(s)