USAWIRI CHANYA WA MWANAMKE KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB ZA BAKARI ABEID

Authors

  • Abdulrahaman Fayz Baheeri The Open University of Tanzania Author
    • Mohamed Omary Maguo The Open University of Tanzania Author

      Keywords:

      Usawiri, Kiumbe, Chanya, Nyimbo, dhana

      Abstract

      Makala haya yanahusu usawiri chanya wa mwanamke katika nyimbo za taarab za Bakari Abeid. Lengo kuu la makala lilikuwa ni kutaka kuchunguza namna mwanamke anavyosawiriwa katika hali chanya katika nyimbo za taarab za msanii maarufu za nyimbo za taarab anayefahamika kwa jina la Bakari Abeid. Makala yalikusanya data kwa kutumia mbinu ya usomaji makini na kuchambuliwa kwa kutumia mbinu ya kimaelezo na nadharia ya Ufeministi. Usawiri chanya wa mwanamke katika nyimbo za taarab za Bakari Abeid umejitokeza katika maeneo ya mwanamke kiumbe mwenye umbo zuri, mwanamke kiumbe mwenye msimamo, mwanamke kiumbe mwenye mapenzi ya kweli na mwanamke ni mtunza siri.

      Downloads

      Published

      2026-05-13

      Issue

      Section

      Articles

      How to Cite

      Abdulrahaman Fayz Baheeri, & Mohamed Omary Maguo. (2026). USAWIRI CHANYA WA MWANAMKE KATIKA NYIMBO TEULE ZA TAARAB ZA BAKARI ABEID. Al-Imad Journal of Humanities and Applied Sciences (AJHAS), 2(1), 767-774. https://al-imadjournal.ly/index.php/ajhas/article/view/102

      Most read articles by the same author(s)