MATUMIZI YA LUGHA YA TAMATHALI ZA SEMI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI: MIFANO KUTOKA DIWANI YA MIDULU

Authors

  • Salama Salem Salama The Open University of Tanzania Author
    • Mohamed Omary Maguo The Open University of Tanzania Author

      Keywords:

      Simiotiki, Tamathali za semi na Msimbo

      Abstract

      Mada ya makala haya ni kuchunguza matumizi ya lugha ya tamathali za semi katika Diwani ya Midulu. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya Simiotiki yenye misimo ya Kihemenitiki, Kimatukio, Kiseme, Kiishara na Kiutamaduni. Data za makala haya zimekusanywa kwa kutumia mbinu ya usomaji makini na kuchambuliwa kwa kutumia mbinu ya uchambuzi wa kimaelezo. Matokeo ya makala haya yamebaini matumizi ya lugha za tamathali za tashibiha, sitiari, tashihisi, jazanda na lugha isiyokuwa ya tafsida.Ufundi wa kisanaa wa kutumika kwa mbinu hizi za tamathali za semi unamfanya mtafiti kuzielewa vizuri dhamira na maudhui ambayo yamefumbatwa katika mashairi ya Diwani ya Midulu.

      Downloads

      Published

      2026-05-14

      Issue

      Section

      Articles

      How to Cite

      Salama Salem Salama, & Mohamed Omary Maguo. (2026). MATUMIZI YA LUGHA YA TAMATHALI ZA SEMI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI: MIFANO KUTOKA DIWANI YA MIDULU. Al-Imad Journal of Humanities and Applied Sciences (AJHAS), 2(1), 809-819. https://al-imadjournal.ly/index.php/ajhas/article/view/106

      Most read articles by the same author(s)